// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AISHI MANULA AANZA MAZOEZI MEPESI SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AISHI MANULA AANZA MAZOEZI MEPESI SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, September 01, 2023

    AISHI MANULA AANZA MAZOEZI MEPESI SIMBA SC


    KIPA namba moja wa Simba, Aishi Salum Manula leo ameanza mazoezi mepesi kwenye Uwanja wa klabu, Mo Simba Arena huko Bunju Jijini Dar es Salaam baada ya kuwa nje ya Uwanja wa mwezi Aprili mwaka huu.
    Aishi ambaye alifanyiwa matibabu Afrika Kusini aliumia kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Aprili 7 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AISHI MANULA AANZA MAZOEZI MEPESI SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top