// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED YABUTULIWA 3-1 NA BRIGHTON PALE PALE OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED YABUTULIWA 3-1 NA BRIGHTON PALE PALE OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED YABUTULIWA 3-1 NA BRIGHTON PALE PALE OLD TRAFFORD
WENYEJI, Manchester United wametandikwa mabao 3-1 na Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford, Manchester. Mabao ya Brighton & Hove Albion yamefungwa na Danny Welbeck dakika ya 20, Pascal Groß dakika ya 53 na João Pedro dakika ya 72, wakati bao pekee la Manchester United limefungwa na Hannibal Mejbri dakika ya 73. Kwa ushindi huo, Brighton & Hove Albion wanafikisha pointi 12 na kusogea nafasi ya nne, wakati Manchester United wanabaki na pointi zao sita nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi tano.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment