NAHODHA wa Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto hatasafiri na timu jioni ya kwenda leo kwenda Kigali nchini Rwanda kwa ajili ya mchezo na El Merreikh ya Sudan kutokana na kukabiliwa na matatizo ya Kifamilia.
Kocha Muargentina Miguel Ángel Gamondi ameridhia Mwamnyeto kutokuwa sehemu ya kikosi kimachokwenda Kigali kwa ajili ya mchezo wa kwanza Hatua ya mwisho ya mchujo ya kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi Uwanja wa Pele, Nyamirambo.
0 comments:
Post a Comment