Mwanzo > YANGA > YANGA SC YAACHANA NA ATONIO NUGAZ HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA YANGA SC YAACHANA NA ATONIO NUGAZ KLABU ya Yanga imetangaza kuachana na aliyekuwa Afisa Mhamasishaji wake Juma Khatib Nugaz 'Antonio Nugaz' baada ya kumalizika kwa mkataba wake wa utumishi.Kwa mujibu wa taarifa kutoka Yanga, klabu hiyo imeamua kutomwongezea mkataba mpya Nugaz. Wednesday, September 01, 2021 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
0 comments:
Post a Comment