• HABARI MPYA

    Monday, January 25, 2021

    TAIFA STARS WAKIJIFUA KUJIANDAA KUIVAA GUINEA MECHI YA MWISHO KUNDI D CHAN 2021

    WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa mazoezini kujiandaa na mchezo wa mwisho wa Kundi D Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) dhidi ya Guinea Jumatano Jijini Douala, Cameroon.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS WAKIJIFUA KUJIANDAA KUIVAA GUINEA MECHI YA MWISHO KUNDI D CHAN 2021 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top