// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED WAIPIGA FULHAM 2-1 NA KUREJEA KILELENI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED WAIPIGA FULHAM 2-1 NA KUREJEA KILELENI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED WAIPIGA FULHAM 2-1 NA KUREJEA KILELENI ENGLAND
TIMU ya Manchester United imekwea kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Fulham usiku wa jana Uwanja wa Craven Cottage Jijini London. Fulham walitangulia kwa bao la Ademola Lookman dakika ya tano, kabla ya Edinson Cavani kuisawazishia Manchester United dakika ya 21 na Paul Pogba kufunga la ushindi dakika ya 65. Kwa ushindi huo Manchester United inafikisha pointi 40 baada ya kucheza mechi 19, wakiizidi ponti mbili Manchester City ambayo hata hivyo ina mechi moja mkononiPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment