• HABARI MPYA

    Tuesday, January 26, 2021

    SIMBA SC YASAJILI BEKI MPYA MZIMBABWE PETER MADUHWA KUTOKA HIGHLANDERS YA BULAWAYO


    BEKI wa kimataifa wa Zimbabwe, Peter Muduhwa amejiunga na Simba SC kutoka Highlanders FC ya kwao, Bulawayo kuimarisha kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kabla ya kuanza kwa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YASAJILI BEKI MPYA MZIMBABWE PETER MADUHWA KUTOKA HIGHLANDERS YA BULAWAYO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top