• HABARI MPYA

    Tuesday, January 19, 2021

    SAMATTA APIGA LA PILI FENERBAHCE YAICHAPA ANKARUGUCU 3-1 LIGI YA UTURUKI


    NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana ametunga bao la pili katika ushindi wa 3-1 wa Fenerbahce dhidi ya Ankaragucu kwenye mchezo wa nyumbani wa Ligi Kuu ya Uturuki.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAMATTA APIGA LA PILI FENERBAHCE YAICHAPA ANKARUGUCU 3-1 LIGI YA UTURUKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top