NYOTA WAWILI CHIPUKIZI WA TANZANIA WAENDA NCHINI TUNISIA KUJIUNGA NA KLABU YA LIGI KUU
WINGA wa Namungo FC, Abeid Athumani na mshambuliaji wa Azam FC, Paul Peter aliyekuwa anacheza kwa mkopo KMC FC wameondoka jana usiku kwenda Tunisia kujiunga na klabu ya Union Sportive de Tataouine inayoshiriki Ligi kuu nchini humo.
0 comments:
Post a Comment