// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CHELSEA YANG'ARA ENGLAND, YAILAZA 1-0 FULHAM LONDON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECHELSEA YANG'ARA ENGLAND, YAILAZA 1-0 FULHAM LONDON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
CHELSEA YANG'ARA ENGLAND, YAILAZA 1-0 FULHAM LONDON
BAO pekee la Mason Mount dakika ya 78 jana limeipa ushindi wa 1-0 Chelsea dhidi ya wenyeji, Fulham waliomaliza pungufu baada ya beki Mmarekani, Antonee Robinson kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 44 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Craven Cottage. The Blues wanafikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 18 na kupanda kwa nafasi tatu hadi ya saba, wakiizidi Arsenal pointi tano ambayo inashika nafasi ya 11PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rivers: PDP govs tackle Tinubu over emergency rule
-
From Ndubuisi Orji, Abuja The Peoples Democratic Party ( PDP) Governors
Forum, has described the declaration of emergency rule by President Bola
Tinubu i...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment