AZAM FC imeibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Mabao ya Azam FC leo yamefungwa na mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube mawili na kiungo mzawa, Mudathir Yahya moja, wakati la KMC limefungwa na Lusajo Mwaikenda kwa penalti.
0 comments:
Post a Comment