BAO pekee la Paul Pogba dakika ya 71 jana lilitosha kuipa Manchester United FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Burnley FC jana Uwanja wa Turf Moor.
Kwa ushindi huo, Man United inafikisha pointi 36 na sasa inaongoza Ligi Kuu kwa pointi tatu zaidi ya mabingwa watetezi, Liverpool baada ya timu zote kucheza mechi 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment