Nahodha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Juma Kaseja akimkabidhi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa jezi ya timu hiyo baada ya mazoezi ya jana kujiandaa na mchezo wa kirafiki wa Kimataifa dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Jumanne Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam
England unable to hold out as Australia retain the Ashes
-
Australia beat England by 82 runs to take a 3-0 series lead and retain the
Ashes urn on day five of the third Test in Adelaide.
18 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment