MABAO ya kipindi cha kwanza ya Rafael Leao na Franck Kessie jana yaliipa AC Milan ushindi wa 2-0 dhidi ya Torino kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Giuseppe Meazza, Milan.
Ushindi huo unaifanya Milan iendelee kuongoza Serie A kwa pointi nne zaidi ya mahasimu wao wa Jiji, Inter Milan (40-36), ambao leo wanamenyana na Roma kufikisha mechi 17 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment