• HABARI MPYA

    Sunday, January 10, 2021

    MILAN YAICHAPA TORINO 2-0 NA KUENDELEA KUONGOZA SERIE A


    MABAO ya kipindi cha kwanza ya Rafael Leao na Franck Kessie jana yaliipa AC Milan ushindi wa 2-0 dhidi ya Torino kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Giuseppe Meazza, Milan.
    Ushindi huo unaifanya Milan iendelee kuongoza Serie A kwa pointi nne zaidi ya mahasimu wao wa Jiji, Inter Milan (40-36), ambao leo wanamenyana na Roma kufikisha mechi 17 pia 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MILAN YAICHAPA TORINO 2-0 NA KUENDELEA KUONGOZA SERIE A Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top