UMATI wa mashabiki wa Yanga SC uliojitokeza Bandari ya Azam Marine, Dar es Salaam kuwapokea wachezaji wao baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi juzi wakiwafunga watani wao jadi, Simba SC kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Mashabiki wa Yanga SC waliojitokeza kuipokea timu yao leo Jijini Dar es Salaam
Wachezaji wa Yanga baada ya kuwasili Dar es Saklaam na Kombe lao la Mapinduzi leo
0 comments:
Post a Comment