BAO pekee la kiungo Zawadi Mauya dakika ya 25 leo limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mapinduzi Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Kwa ushindi huo, Yanga SC inafikisha pointi nne baada ya kucheza mechi mbili na sasa inaongoza Kundi A ikiwa imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kwenda Nusu Fainali.
Kwa ushindi huo, Yanga SC inafikisha pointi nne baada ya kucheza mechi mbili na sasa inaongoza Kundi A ikiwa imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kwenda Nusu Fainali.
0 comments:
Post a Comment