• HABARI MPYA

    Friday, January 08, 2021

    YANGA SC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 NA KUBISHA HODI NUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR

    BAO pekee la kiungo Zawadi Mauya dakika ya 25 leo limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mapinduzi Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
    Kwa ushindi huo, Yanga SC inafikisha pointi nne baada ya kucheza mechi mbili na sasa inaongoza Kundi A ikiwa imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kwenda Nusu Fainali.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 NA KUBISHA HODI NUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top