• HABARI MPYA

    Tuesday, January 19, 2021

    ZLATAN APIGA ZOTE AC MILAN YASHINDA 2-0 NA KUPAA KILELENI


    MKONGWE Zlatan Ibrahimovic jana amefunga mabao yote mawili dakika ya saba kwa penalti na 52, AC Milan ikiichapa Cagliari 2-0 katika mchezo wa Serie A Uwanja wa Sardegna Arena, Cagliari.
    Sasa AC Milan inafikisha pointi 43 na kuendelea kuongoza Serie A  kwa pointi tatu zaidi ya mahasimu wao wa Jiji, Inter Milan (43-40) baada ya wote kuchezsa mechi 18
     
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ZLATAN APIGA ZOTE AC MILAN YASHINDA 2-0 NA KUPAA KILELENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top