MRENO Cristiano Ronaldo sasa ndiye mfungaji bora wa muda wote duniani baada ya jana kuifungia bao la kwanza Juventus ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Napoli katika Super Cup ya Italia – bao la pili likifungwa na Alvaro Morata Uwanja wa MAPEI.
Ronaldo sasa amefikisha mabao 760 na kumpiku Josef Bican – aliyechezea Austria na Czech ambaye alifunga 759 kati ya 1931 na1955 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment