• HABARI MPYA

    Monday, January 11, 2021

    MAN CITY YASHINDA 3-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA FA ENGLAND


    NA mabao ya kipindi cha kwanza ya Bernardo Silva mawili na Phil Foden yaliipa mushindi wa 3-0 Manchester City dhidi ya Birmingham City katika mchezo wa raundi ya Nne Kombe la FA England Uwanja wa Etihad jana
     PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YASHINDA 3-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA FA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top