AZAM FC YAWACHAPA MALINDI SC 2-0 KATIKA MECHI YA KIRAFIKI LEO ZANZIBAR MABAO YA IDDI 'NADO' NA MUDATHIR
MABAO ya viungo Iddi Suleiman Ally 'Nado' dakika ya 37 na Mudathir Yahya Abbas dakika ya 45 jioni ya leo yameipa Azam FC ushindi wa 2-0 dhidi ya Malindi SC katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Mao Dze Tungu, Zanzibar
Item Reviewed: AZAM FC YAWACHAPA MALINDI SC 2-0 KATIKA MECHI YA KIRAFIKI LEO ZANZIBAR MABAO YA IDDI 'NADO' NA MUDATHIR
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment