• HABARI MPYA

    Monday, January 25, 2021

    MSHAMBULIAJI MGHANA WA YANGA SC, MICHAEL SARPONG ASAIDIA YATIMA KWAO



    MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Michael Sarpong wiki iliyopita alipata fursa ya kutoa msaada katika kituo cha Royal Seed Orphanage, kesho nchini Ghana, alipokwenda kwa mapumziko mafupi baada ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kusimama.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSHAMBULIAJI MGHANA WA YANGA SC, MICHAEL SARPONG ASAIDIA YATIMA KWAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top