TIMU ya Namungo FC ya Ruangwa mkoani Lindi itamenyana na Primeiro de Agosto ya Angola katika mechi mbili za nyumbani na ugenini kuwania kuingia hatuaya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Wawakilishi hao wa Tanzania wataanzia ugenini Februari 14 kabla ya kurejea nyumbani kwa mchezo wa marudiano Februari 21. Kila la heri Namungo FC.
Wawakilishi hao wa Tanzania wataanzia ugenini Februari 14 kabla ya kurejea nyumbani kwa mchezo wa marudiano Februari 21. Kila la heri Namungo FC.
0 comments:
Post a Comment