WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro.
Kwa sare hiyo, Mtibwa Sugar wanafikisha pointi tisa katika mchezo wa saba nafasi ya sita, sawa Tanzania Prisons ambao wenyewe wamecheza mechi moja zaidi nafasi ya saba.
0 comments:
Post a Comment