// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MTIBWA SUGAR NA TANZANIA PRISONS ZATOKA SULUHU MANUNGU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMTIBWA SUGAR NA TANZANIA PRISONS ZATOKA SULUHU MANUNGU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MTIBWA SUGAR NA TANZANIA PRISONS ZATOKA SULUHU MANUNGU
WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Kwa sare hiyo, Mtibwa Sugar wanafikisha pointi tisa katika mchezo wa saba nafasi ya sita, sawa Tanzania Prisons ambao wenyewe wamecheza mechi moja zaidi nafasi ya saba.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment