Bao lililoizamisha Yanga limefungwa na Mohamed Abdelhaman dakika tatu ya mchezo huo na kwa matokeo hayo Hilal wanakwenda Hatua ya makundi kwa ushindi wa jumla wa 2-1 kufuatia kulazimisha sare ya 1-1 kwenye mechi ya kwanza Dar es Salaam.
Yanga wao watakwenda kujaribu bahati yao kwa kuwania kucheza Hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho.
0 comments:
Post a Comment