TANZANIA imeanza vyema michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, Ethiopia leo katika mchezo wa Kundi A Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa. Mabao ya Tanzania, Serengeti Boys yamefungwa na Sylvester Otto mawili dakika ya tatu na 16 na Idrisa Makwepa dakika ya 86 na sasa vijana hao watateremka tena dimbani Jumapili kukamilisha mechi zao za Kundi hilo kwa kumenyana na Somalia. Ikumbukwe Kundi B linaundwa na Uganda, Burundi na Sudan Kusini na bingwa wa michuano hiyo atashiriki AFCON U17.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment