TANZANIA imetupwa nje ya mbio za kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 23 baada ya kuchapwa 2-0 na wenyeji, Nigeria leo Uwanja wa Liberty Jijini Ibadan nchini Nigeria.
Kwa matokeo hayo, Manyara Stars inatolewa kwa jumla ya mabao 3-1 kufuatia sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam wiki iliyopita.
0 comments:
Post a Comment