• HABARI MPYA

    Saturday, October 15, 2022

    SERENGETI BOYS YAIPIGA UGANDA KWA MATUTA CECAFA U17


    TANZANIA imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Uganda leo Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERENGETI BOYS YAIPIGA UGANDA KWA MATUTA CECAFA U17 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top