// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SERENGETI GIRLS YABAMIZWA 4-0 NA JAPAN KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SERENGETI GIRLS YABAMIZWA 4-0 NA JAPAN KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, October 12, 2022

    SERENGETI GIRLS YABAMIZWA 4-0 NA JAPAN KOMBE LA DUNIA


    TIMU ya taifa ya wasichana U17 imeanza vibaya Fainali za Kombe la Dunia baada ya kuchapwa mabao 4-0 na Japan katika mchezo wa Kundi D leo Uwanja wa 
    Jawaharlal Nehru (Fatorda Stadium) huko Margao, Goa nchini India.
    Serengeti Girls itateremka tena dimba Jumamosi kumenyana na Ufaransa katika mechi wake wa pili wa Kundi D  – kabla ya kukamilisha mechi zake za Kundi hilo kwa kumenyana na Canada Jumanne ijayo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERENGETI GIRLS YABAMIZWA 4-0 NA JAPAN KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top