TIMU ya Arsenal imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Nottingham Forest mabao 5-0 leo Uwanja wa Emirates Jijini London. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Gabriel Martinelli dakika ya tano, Reiss Nelson mawili dakika ya 49 na 52, Thomas Partey dakika ya 57 na Martin Odegaard dakika ya 78. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 31 na kurejea kileleni ikiizidi pointi mbili Manchester City baada ya wote kucheza mechi 12.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment