Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Said Ntibanzokiza kwa penalti dakika ya 18 na Offen Chikola dakika ya 53, wakati la Namungo FC limefungwa na Shiza Kichuya dakika ya 12.
Kwa matokeo hayo, Geita Gold inafikisha pointi 10 katika mchezo wa nane na kusogea nafasi ya tisa, wakati Namungo FC inabaki na pointi zake 11 za mechi saba nafasi ya saba.
0 comments:
Post a Comment