// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MBEYA CITY YATOKA NYUMA NA KUICHAPA POLISI 3-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMBEYA CITY YATOKA NYUMA NA KUICHAPA POLISI 3-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WENYEJI, Mbeya City wametoka nyuma na kushinda 3-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Hassan Nassor dakika ya 50, Sixtus Sabilo dakika ya 64 na Tariq Seif dakika ya 73 baada ya Vitalis Mayanga kuanza kuifungia Polisi dakika ya 16. Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi tisa na kusogea nafasi ya sita, wakati Polisi Tanzania inabaki na pointi zake zake mbili ikiendelea kushika mkia baada ya wote kucheza mechi saba.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment