• HABARI MPYA

    Thursday, October 06, 2022

    PHIRI AKABIDHIWA TUZO YAKE YA SEPTEMBA SIMBA SC


    MSHAMBULIAJI Mzambia, amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa klabu ya Simba kwa mwezi Septemba mwaka huu sambamba na kitita cha Sh. Milioni 2 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya Emirate Aluminium Profile.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PHIRI AKABIDHIWA TUZO YAKE YA SEPTEMBA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top