• HABARI MPYA

    Wednesday, October 12, 2022

    SERENGETI BOYS YATUPWA NJE CECAFA U17


    SAFARI ya timu ya taifa ya Tanzania katika michuano ya CECAFA U17 imeishia Nusu Fainali baada ya kutolewa na Sudan Kusini leo kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya 1-1.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERENGETI BOYS YATUPWA NJE CECAFA U17 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top