• HABARI MPYA

    Friday, October 28, 2022

    SIMBA SC YAPATA MKATABA WA BIMA MILIONI 250 KWA MWAKA


    KLABU ya Simba SC imeigia mkataba wa miaka miwili wa bima ya afya kwa wachezaji, benchi la ufundi na menejimenti ya Simba na kampuni ya bima ya Moassurance kwa kipindi miaka miwili wenye thamani ya Sh. Milioni 250. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAPATA MKATABA WA BIMA MILIONI 250 KWA MWAKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top