Mabao ya KMC yamefungwa na Nzigamasabo Steve dakika ya 15 na George Makang’a dakika ya 57, wakati la Azam FC limefungwa na Idris Mbombo dakika ya 18.
Kwa ushindi huo, KMC wanafikisha pointi 13 katika mchezo wa nane na kusogea nafasi ya tatu, wakati Azam FC inabaki na pointi zake 11 za mechi saba nafasi ya sita.
0 comments:
Post a Comment