• HABARI MPYA

    Monday, October 24, 2022

    DABODABO YA 888 BET YAENDELEA KUZALISHA WASHINDI


    KWA 
    wiki 
    ya pili sasa kampuni ya michezo yakubahatisha 888 bet imeendelea kuonesha kuwa ina niaya kuendelea kuwapa fursa watanzania kupitia michezoya kubashiri kwa kuwazawadia washindi wengine wawiki ya pili ya droo ya Dabodabo pikipikiruningapamoja na simu tatu.
    Droo hiyo ya dabodabo inategemea kuendeleakutunuku washindi zawadi hizo za kila wiki kwa wiki sitaambapo kwa wiki ya saba mshindi mmojaatajinyakulia zawadi kubwa ya kitita cha milioni miamoja.
    Hii ni kampuni pekee ambayo inakupa ushindi kwakuweka mkeka wako tuhaijalishi kama umetiki au haujatikihakutakua na nafasi kama hii tena.”, Alisema Oka Martin, mmoja wa wachekeshaji wakundi la Wanyabi ambao ni mabalozi wa kampuni hiyowakiwa wanatangaza washindi wa wiki ya pili yaDabodabo
    Niwasisitize wadau wote wa michezo ya kubahatishatembelea www.888bet.tz uweke mkeka wakozawadibado ni nyingi na kila unapoweka mkeka unaongezanafasi ya kujichukulia kile kitita cha milioni mia.” Aliongeza Carpozamwenzake na Oka Martin.
    Kampuni ya 888bet ni kampuni mpya ya michezo yakubahatisha iliyozinduliwa Tanzania na yenye lengo la kufanya michezo ya kubahatisha iwe na manufaa Zaidi kwa wadau wake na watanzania kwa ujumlaKila wiki washindi hupokea pikipikisimu janja tatu na runingaya inchi 65 huku wakijiwekea nafasi ya kushindaniazawadi kubwa ya milioni mia moja.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DABODABO YA 888 BET YAENDELEA KUZALISHA WASHINDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top