// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAPUNGUZWA KASI ENGLAND, SARE 1-1 NA SOUTHAMPTON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAPUNGUZWA KASI ENGLAND, SARE 1-1 NA SOUTHAMPTON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAPUNGUZWA KASI ENGLAND, SARE 1-1 NA SOUTHAMPTON
WENYEJI, Southampton wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St Mary’s, Southampton, Hampshire. Wageni walitangulia kwa bao la Granit Xhaka dakika ya 11, kabla ya Stuart Armstrong kuisawazishia Southampton dakika ya 65. Kwa matokeo hayo, Arsenal inafikisha pointi 28 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi mbili zaidi ya Mabingwa watetezi, Manchester City baada ya wote kucheza mechi 11. Kwa upande wao, Southampton inafikisha pointi 12 katika mchezo wa 12 nafasi ya 15.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment