• HABARI MPYA

    Monday, October 31, 2022

    SIMBA QUEENS YACHAPWA 1-0 NA WAARABU MOROCCO


    TIMU ya  Simba Queens imeanza vibaya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuchapwa bao 1-0 na wenyeji FAR Rabat katika mchezo wa Kundi A usiku wa jana Uwanja wa Prince Moulay Hassan Jijini Rabat nchini Morocco.
    Simba Queens watateremka tena dimbani Novemba 2 kumenyana na Determine Girls ya Liberia kabla ya kukamilisha mechi zao za Kundi hilo kwa kumenyana na Green Buffaloes ya Zambia Novemba 5.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA QUEENS YACHAPWA 1-0 NA WAARABU MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top