Bao pekee la Simba SC leo limefungwa na mshambuliaji wake Mzambia, Mosea Phiri dakika ya 33 na sasa Wekundu wa Msimbazi wanakwenda Hatua ya Makundi kwa ushindi wa jumla wa 4-1 kufuatia kuwafunga 3-1 Agosto kwao, Luanda wiki iliyopita.
SIMBA SC YATINGA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Bao pekee la Simba SC leo limefungwa na mshambuliaji wake Mzambia, Mosea Phiri dakika ya 33 na sasa Wekundu wa Msimbazi wanakwenda Hatua ya Makundi kwa ushindi wa jumla wa 4-1 kufuatia kuwafunga 3-1 Agosto kwao, Luanda wiki iliyopita.
0 comments:
Post a Comment