// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KIPANGA YAWAKOMALIA WATUNISIA, SARE YA 0-0 ZANZIBAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KIPANGA YAWAKOMALIA WATUNISIA, SARE YA 0-0 ZANZIBAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, October 08, 2022

    KIPANGA YAWAKOMALIA WATUNISIA, SARE YA 0-0 ZANZIBAR


    TIMU ya Kipanga ya Zanzibar imetoa sare ya bila mabao na Club Africain ya Tunisia katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika jioni ya leo Uwanja wa Amani, Zanzibar.
    Timu hizo zitarudiana Oktoba 16, Jumapili ijayo Uwanja wa Olimpiki wa Radès mjini Radès, Tunisia na mshindi wa jumla atakwenda kumenyana na moja ya timu zilizotolewa Ligi ya Mabingwa kuwania kucheza Hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIPANGA YAWAKOMALIA WATUNISIA, SARE YA 0-0 ZANZIBAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top