BAO pekee la mshambuliaji Mbrazil, Richarlison de Andrade dakik ya 46, limetosha kuipa Everton ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Jumapili Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Everton inafikisha pointi 32 Katika mchezo wa 33, ingawa inabaki katika nafasi ya 18, wakati Chelsea inabaki na pointi zake 66 za mechi 34 nafasi ya tatu.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment