KLABU ya Simba imeachana na kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin baada ya makubaliano ya pande zote MBILI na kuelekea mechi zilizobaki kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu itakuwa chini ya kocha Msaidizi, Suleiman Matola.Pamoja na Pablo aliyejiunga na timu hiyo Novemba mwaka jana, Simba pia imeachana na kocha wa mazoezi ya viungo Daniel De Castro Reyes ambaye pia ni Mspaniola.
Mass shooting in parking lot on Troost Avenue followed party at unlicensed
club, city officials say
-
After a violent weekend in Kansas City, Missouri, officers are
investigating three crime scenes. Two people were killed, and a total of 12
people were shot.
7 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment