KLABU ya Simba imeachana na kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin baada ya makubaliano ya pande zote MBILI na kuelekea mechi zilizobaki kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu itakuwa chini ya kocha Msaidizi, Suleiman Matola.Pamoja na Pablo aliyejiunga na timu hiyo Novemba mwaka jana, Simba pia imeachana na kocha wa mazoezi ya viungo Daniel De Castro Reyes ambaye pia ni Mspaniola.
Diving duo win Team GB's first medal of Paris 2024
-
Watch as Great Britain's Scarlett Mew Jensen and Yasmin Harper secure GB's
first bronze medal as they scored over 300 points in Women's synchronised
3m spr...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment