• HABARI MPYA

    Tuesday, May 31, 2022

    SIMBA SC YAMTUPIA VIRAGO KOCHA PABLO

    KLABU ya Simba imeachana na kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin baada ya makubaliano ya pande zote MBILI na kuelekea mechi zilizobaki kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu itakuwa chini ya kocha Msaidizi, Suleiman Matola.
    Pamoja na Pablo aliyejiunga na timu hiyo Novemba mwaka jana, Simba pia imeachana na kocha wa mazoezi ya viungo Daniel De Castro Reyes ambaye pia ni Mspaniola.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAMTUPIA VIRAGO KOCHA PABLO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top