KLABU ya Simba imeachana na kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin baada ya makubaliano ya pande zote MBILI na kuelekea mechi zilizobaki kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu itakuwa chini ya kocha Msaidizi, Suleiman Matola.Pamoja na Pablo aliyejiunga na timu hiyo Novemba mwaka jana, Simba pia imeachana na kocha wa mazoezi ya viungo Daniel De Castro Reyes ambaye pia ni Mspaniola.
Windhorst: Giannis Antetokounmpo Signing New Bucks Contract is '50-50 At Best'
-
It's growing more apparent each day that the Milwaukee Bucks are in danger
of Giannis Antetokounmpo not signing a new contract extension with the
team. Dur...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment