TIMU ya Ihefu ya Mbalizi mkoani Mbeya imefanikiwa kurejea Ligi Kuu baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Pan Africans jana – pongezi kwa kocha Zuberi Katwila aliyeshuka na kupanda nayo timu hiyo.
Ihefu inaungana na DTB ya Dar es Salaam kupanda Ligi Kuu, timu hizo mbili zikiwa zinamalzia msimu kwa kuwania ubingwa wa Championship.
0 comments:
Post a Comment