BEKI wa Yanga, Kibwana Shomari (kulia) na mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis wakipeana pole baada ya wawili hao kuumia kufuatia kugongana kwenye ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Jumamosi Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Wote walishindwa kuendelea na mchezo, Yanga ikiibuka na ushindi wa 1-0, bao pekee la Feisal Salum dakika ya 25.
0 comments:
Post a Comment