TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kwenda Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester City usiku wa Jumatano Uwanja wa Santiago Bernabéu Jijini Madrid nchini Hispania. Dakika 90 zilimalizika la Real wakishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Rodrygo yote dakika ya 90 na 90 na ushei baada ya Man City kutangulia kwa bao la Riyad Mahrez dakika ya 73. Matokeo ya jumla yakawa 5-5 kufuatia Man City kushinda 3-2 kwenye mechi ya kwanza Uwanja wa Etihad wiki iliyopita, hivyo mchezo ukahamia kwenye dakika 30 za nyongeza na ndipo Mfaransa, Karim Benzema amáinela shujaa wa Bernabeu kwa mara nyingine tena kwa bao lake la penalti dakika ya 95 kufuatia yeye mwenyewe kuchezwa vibaya na Ruben Dias.
Kwa ushindi huo wa jumla wa 6-5, Real Madrid inakwenda Fainali itakayopigwa Mei 28 Uwanja wa Stade de France Jijini Paris na itakutana na timu nyingine ya England, Liverpool ambayo imeitoa Villarreal ya Hispania pia.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment