• HABARI MPYA

    Wednesday, May 18, 2022

    MWAMNYETO AONGEZA MKATABA WA MIAKA MIWILI YANGA


    BEKI wa kati wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kufanya kazi Jangwani. 
    Mwamnyeto alijiunga na Yanga Julai mwaka 2020 kutoka Coastal Union ya Tanga na amekuwa na misimu miwili mizuri ya awali hadi kupewa Unahodha wa timu. 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MWAMNYETO AONGEZA MKATABA WA MIAKA MIWILI YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top