• HABARI MPYA

    Saturday, May 21, 2022

    TAIFA STARS KUANZIA NIGER KUFUZU AFCON 2023


    TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa mgeni wa Niger katika mchezo wa kwanza wa Kundi F kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika Juni 4 Uwanja wa L'Amitié mjini Cotonou.
    Baada ya Taifa Stars itarejea nyumbani kwa mchezo wa pili wa Kundi F dhidi ya Algeria Juni 8 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kuwania tiketi ya Ivory Coast 2023.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS KUANZIA NIGER KUFUZU AFCON 2023 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top