• HABARI MPYA

    Thursday, May 26, 2022

    CHEZA SUPA JACKPOT YA SH BILIONI 1 KWA SH 1000


    KAMPUNI 
    ya Michezona Burudani SportPesa leo imezindua rasmi Jackpot mpya inayoitwa Supa Jackpot kama moja ya hudumayao nyingine kwa wachezaji wake.
    Akizungumza ofisini kwakeOysterbay, Mwenyekitiwa Bodi ya Wakurugenzi Tarimba Abbas alisema leoni siku nyingine ambayo kampuni ya Sportpesainatambulisha huduma hiyo.
    ‘’Najua bado watu wanashauku na Jackpot yetuambayo imeliwa siku si nyingi zilizopita, kwamuktadha huo baada ya kuona wachezaji wetuwameanza kuzoea viwango vikubwa basi tumeoneleatuwaletee bidhaa ambayo inaendana na matamanioyao. Kwa hivyo tunazindua rasmi leo Jackpot hiiambayo itaanzia bilioni moja na itaenda kwa jina la SUPA JACKPOT’’.
    Akiendelea Tarimba anasema Supa Jackpot itakuwa najumla ya timu 17 na pia kiwango cha pesa ambachomchezaji atatakiwa kuweka ni Tsh 1000 ili awezekucheza.
    Lakini upekee wa Jackpot hii upo kama ifuatavyo. Jackpot imegawanyika katika makundi au vipengelevitano vya zawadi ambavyo vyote mchezaji anachaguola kushiriki na kushinda.
    Kipengele namba moja ni cha timu 17 ambachoukishinda unaondoka na kuanzia bilioni 1kutegemeana na Jackpot imesimamia kiasi ganiKipengele hiki bonasi zake zinaanzia timu 16 mpaka12
    Kundi la pili au Kipengele namba ni cha timu 16 ambacho ukipatia mechi zote unashinda kuanziaTshs milioni 750. Kipengele hiki bonasi zakezinaanzia timu 15 mpaka mechi 11. 
    Kundi la tatu au kipengele namba tatu ni cha timu 15 ambacho ukipatia mechi zote kwa usahihi unashindakuanzia Tshs milioni 500. Kipengele hiki bonasi zakezinaanzia mechi 14 mpaka mechi 10
    Kipengele cha nne cha Supa Jackpot ni cha timu 14 ambacho ukipatia mechi zote kwa usahihi utashindakuanzia Tshs milioni 300Kipengele hiki bonasi zakezinaanzia timu 13 mpaka timu 10
    Na kipengele cha mwisho hichi ni kipengele ambachokimezoeleka kila siku ni cha timu 13 ambachoukipatia kwa usahihi unashinda kuanzia Tsh mil 200
    Cha ziada ambacho ni mabadiliko kidogo ni kwenyekombinesheni. Kama mtakumbuka Jackpot iliyoliwailikuwa unaweza kucheza dabo kombinesheni 7kwenye hii kombinesheni zimeongezeka mpaka timu10.
    ‘’Tumewaletea Jackpot hii ili wale wote wenye ndotoza kuwa mabilionea basi wapate nafasi ya kushindakama ahadi yetu tuliyoweka hapo awali kuwawezeshawatanzania na kutengeneza mabilionea wapyakupitia mchezo wa ubashiri’’. Na pia Jackot hii inaviwango tofauti vya zawadi kama ilivyoainishwa hapojuu.
    Kuanzia leo tutakuwa na jumla ya Jackpot mbili kilawiki moja ni ile ambayo ilikuwapo awali inayoanziamilioni 200 ambayo kwa wiki hii ni 222,883,040 naitakuwa inachezwa kwa dau la Tsh 1000 kila siku za Jumatano na Alhamisi na hii mpya ya Supa Jackpot ambayo itakuwa na jumla ya timu 17, itakuwainachezwa siku ya Jumamosi na Jumapili na dau lake ni Tsh 1000’’
    Anamalizia kwa kusema dhamira kuu ya Sportpesa nikuendelea kuwapa kile ambacho ni bora na chenyemanufaa kwa wachezaji wake pamoja na jamii nzimaikiwemo serikali hasa kwenye maswala ya kodi.
    ‘’Nachukua fursa hii kuwahamasisha watanzaniamchangamkie fursa hizi kwani mmeona washindiwote waliopita akiwepo bilionea mpya Florian Masawe namna walivyotimiza ndoto zao na Sportpesaza kuwa mamilionea na bilionea hapa nchini.
    Kama bado haujajisajili na Sportpesa au una akaunti naumesahau nywila wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja au tembelea www.sportpesa.co.tz


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHEZA SUPA JACKPOT YA SH BILIONI 1 KWA SH 1000 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top