• HABARI MPYA

    Thursday, May 19, 2022

    MAUYA AONGEZA MIAKA MIWILI YANGA SC


    KIUNGO Zawadi Peter Mauya amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuchezea klabu ya Yanga hadi msimu wa 2024.
    Zawadi alijiunga na Yanga mwaka 2020 Julai akitokea Kagera Sugar na baada ya kazi nzuri katika misimu yake miwili ya awali ikiwemo kufunga bao pekee la ushindi katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya watani, Simba Julai 3, mwaka jana amepewa nafasi nyingine Jangwani.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAUYA AONGEZA MIAKA MIWILI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top