Mwanzo > YANGA > SIMBA NA YANGA ZATOZWA FAINI KWA MAKOSA TOFAUTI KIRUMBA HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA SIMBA YANGA SIMBA NA YANGA ZATOZWA FAINI KWA MAKOSA TOFAUTI KIRUMBA KLABU za Simba na Yanga zimetozwa faini kwa makosa tofauti kwenye mechi zao kadhaa zilizopita za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zikiewemo za Jumapili na Jumatatu Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Friday, May 27, 2022 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA SIMBA YANGA
0 comments:
Post a Comment